Lala Poa Magodoro

Lala Poa Magodoro

Share

πŸ‘‰Tunauza Magodoro aina zote!
🀝Ushauri wa kitaalam kabla ya kununua
πŸ“²0763711976 - Piga simu sasa!
πŸ“Tupo Dar na Dodoma
πŸ“²wa.me/message/ONACV5XGFHYRA1

19/07/2026

Tunakuletea Popote ulipo! Piga simu uletewe πŸ“² 0763711976

πŸš› Free delivery dar ( Malipo baada ya kupokea godoro lako )

πŸ“¦ Mikoani tunatuma ( Kwa gharama za mteja )

πŸ“² 0763711976 - Weka oda yako sasa!

Photos from Lala Poa Magodoro's post 17/07/2026

Tunakuletea Popote ulipo! Piga simu uletewe πŸ“² 0763711976

πŸš› Free delivery dar ( Malipo baada ya kupokea godoro lako )

πŸ“¦ Mikoani tunatuma ( Kwa gharama za mteja )

πŸ“² 0763711976 - Weka oda yako sasa!

13/02/2026

Kila biashara kubwa ilianza mahali.
Hii ndiyo delivery yetu ya kwanza.

Asante kwa wote wanaoendelea kutuamini.

πŸ“Tupo Dar es Salaam

Magodoro size zote yanapatikana

Kuagiza tu - Dm Whatsapp
(Link ipo kwenye bio)

13/02/2026

😴 Usingizi bora unaanza na godoro sahihi

Tunauza magodoro imara na laini kwa matumizi ya kila siku bila kuumiza mgongo.

5Γ—6 inch 8 bei kuanzia Tsh 180,000/=
5Γ—6 inch 10 bei kuanzia Tsh 250,000/=
🚚 Delivery bure Dar es Salaam
🎁 Mito 2 bure ukinunua leo

πŸ’¬ Bonyeza Chat on WhatsApp uagize au upate ushauri wa kitaalamu.

12/02/2026

Agiza nasi leo upate Ofa ya Mito 2 pamoja na Free delivery kwa wakazi wa Dar

Whatsapp sasa - Kuagiza
(Link ipo kwenye bio)
0763711976


04/02/2026

😴 Unahitaji godoro lisilobonyea haraka?

Tunakushauri godoro sahihi kwa miwili yako ili uamke bila maumivu.

πŸ’° Bei kuanzia Tsh 180,000/=
🚚 Free delivery dar
🎁 Pata Mito 2 bure ukinunua leo

πŸ’¬ Bonyeza WhatsApp sasa uagize au upate ushauri wa kitaalamu wa godoro sahihi.

03/02/2026

Tunauza magodoro aina zote, lakini hatuishii hapo.
Kwa Lala Poa Magodoro tunaanza na ushauri wa bure ili kuhakikisha unachagua godoro linalokufaa mwili wako, si bahati bahati.

Kabla hujanunua, ongea nasi kwanza πŸ‘‡
Tutakuuliza maswali machache, tukuelekeze chaguo sahihi kulingana na:
βœ” uzito
βœ” MATUMIZI gani
βœ” bajeti yako

🎁 Delivery Bure Dar
🎁 Mito 2 Bure ukinunua LEO

πŸ‘‰ Bonyeza WhatsApp uongee nasi tupate kukushauri kabla hujanunua.

Photos from Lala Poa Magodoro's post 02/02/2026

Watu wengi hununua godoro bila kuuliza maswali muhimu,
ndio maana baadaye hupata maumivu ya mgongo na usingizi usioridhisha.

Kabla hujanunua godoro, hakikisha unaelewa:
βœ” Lina density gani
βœ” Linafaa uzito wa kilo ngapi
βœ” Lina warranty au la
βœ” Linaathirije afya ya mgongo

Maswali haya yanakusaidia kufanya uamuzi sahihi,
bila kujali unanunua wapi.

K**a una maswali zaidi kuhusu magodoro,
DM iko wazi.

Want your business to be the top-listed Furniture Store in Dar es Salaam?

Click here to claim your Sponsored Listing.

Location

Category

Address

Mbezi Beach
Dar Es Salaam